Akigoma kula sukari kwenye mfuko inakuwaje kwako?!
jamani nataka leo tuliongelee hili jambo, unajuwa wakati mama anapokuwa amejifungua wataalam husema ya kwamba kizazi chake huwa wazi tayari kwa kudaka mbegu pindi itakapoingia, sasa basi inakuwaje pale pindi mnahamu ya kupeana penzi na baba kumwaga nje hataki? inafaa kuvaa condom? na najuwa wanawake wengi watakubaliana na mimi kwamba hawajali wapenzi wao wakivaa condom lakini kwanini hii huwa ngumu sana kwa wanaume, na mara nyingi husema mke wangu mwenyewe nitamvaliaje condom (haya ni maneno niliyoyapata baada ya kuhoji wame za watu) na wewe kama mke wakati unapohitaji mwenzi wako avae condom kama kizuizi cha mimba na akakataa unahisi je ama unamchukuliaje mwenzi wako kwa hilo jambo?
Anapenda mbinuko wa nje sana....
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 29, nina mtoto mmoja na miaka minne kwenye ndoa. sasa tatizo nililo nalo Mume wangu mwanzoni alikuwa ni mtu mwenye mapenzi ya kweli sana kila unapomuhitaji namuona na alikuwa akinipatia kila ninachomuomba, alikuwa akipatikana nyumbani weekend zote na tulikuwa tukitoka kwenda kustarehe wote. sasa namuona kabadilika sana hususani upatikanaji wake nyumbani umekuwa ni adimu na pia hatutoki tena kwenda kustarehe pamoja. hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia mwenendo wake hasa katika simu yake ni namba zipi anazowasiliana nazo sana katika simu na sms, ndipo nikagundua kuwa ana mwanamke nje ambaye anakuwa nae muda mwingi sana. nilijaribu kumuuliza baada ya kugundua, lakini nikaishia kuambiwa kuwa nina matatizo mie.... cha kushangaza yeye kwa sasa ndo kaamua kuweka pin number kwenye simu yake. lakini kwa upande wa matumizi ya nyumbani na mahitaji mengine anatimiza kama kawaida, ni ule upendo wa mwanzo ndo umepungua. sasa naombeni mnishauri mtu kama huyo nimfanyeje au nideal nae vipi?.
Asimami hadi nishtue...........
Habari wapendwa,Naombeni mnisaidie,nina BF wangu ambaye tuko wote huu sasa ni mwaka 1,Ila kama six monthy sasa ananipa wakati mgumu sana,pale tunapofikia kwenye swala la maandalizi na hadi kungonoka,anataka nimfanyie vitu vya ajabu,likes nimnyonye mkundu au kumtumbukiza vidole matakoni,sasa sielewi je katika miezi yetu ya mwanzo mwenzangu alikuwa anafanya hivi vitu na mpenzi wake wa zamani?au ana chembechembe za ushoga? au ndiyo hali halisi iliyopo sasa kwamba Oral sex lazima nimfanyie hivyo?maana mwenzangu ananisukumiza kweli na kwa jinsi akiwa ananisumiza anaenjoy vibaya mnoooo... nisaidieni.Nifanyeje nampenda pia sana.pls naomba msinitukane.
Subscribe to:
Posts (Atom)


